Más canciones de Marioo
Más canciones de Bien
Descripción
Autor: Mario
Autor: bien
Productor: Kanibal
Compositor: Marioo
Compositor: Bien
Letra y traducción
Original
Uuh-uuh, yeah, kutoka alooh
Mmh (it's Kaniba)
Nilikutana naye Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ah, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
She's my number, ah, number, ah moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Now she's my number, ah, number, ah, moja
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
Tulipatana Bongo, Mikocheni
Niko zangu beach nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie
Habari gani mbona uko lonely
Jina ni gani akasema Zari
Nikamwambia aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu uwe wake
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mi' na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiyayah, aah
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah
Oh, yeah, tushaoana
Ooh, alooh!
Traducción al español
Uuh-uuh, sí, kutoka alooh
Mmh (es Kaniba)
Nilikutana naye Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ah, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Ella es mi número, ah, número, ah moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Ahora ella es mi número, ah, número, ah, moja
Yani namaanisha kwamba
ndio tushaoana
ndio tushaoana
Tushaoana
ndio tushaoana
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
Tulipatana Bongo, Mikocheni
Playa Niko Zangu Nala Upepo Wa Bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Oh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie
Habari gani mbona uko solitario
Jina ni gani akasema zari
Nikamwambia aje
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu uwe despertar
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mi'na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiyayah, aah
Yani namaanisha kwamba
ndio tushaoana
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah
ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah
Oh, sí, tushaoana
¡Oh, alooh!